Harmonize atoa ngoma ya kwanza tokea ajiengue WASAFI. Ashindwa kufikisha views 100K ndani ya masaa 10

Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶

Angalia kichupa hapa


Anafikishaje wakati wale mnaowalipis bundle wapo upande ule .... Yaani hi inadhihirisha kama kweli ni michezo yao wcb ....
 
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...

Angalia kichupa hapa



Enheeeh

Halafu?

Kwani Bwana Liquid anasemaje?
 
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...

Angalia kichupa hapa

Hatuingii, tukiingia tutamuongezea views.
 
Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Huyu jamaa n mda sasa tangia nikutane na comment zake kwenye uzi tofaut tofaut,,,

Kikubwa nilichogundua kwa huyu mchz n kwamba anaulimbukeni mwingi ndio unaompelekea kuandika v2 vya ajabu!!

Wakuu msameheni tu ndio madhara ya technology kuingia vijijini
 
Miziki ni biashara. Inaitaji MATANGAZO ya hali ya juu. WASAFI TV. RADIO FM 88.9. radio kwenye AzamTv. Mitandao yata startime. Zuku. azam.
 
Back
Top Bottom