Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,244
- 22,678
uza simu rudi shuleSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
mwalimu wako wa kiswahili ana hasara sana. hakuna ulilojifunza.
uza simu rudi shuleSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Jina la wimbo na maudhui yaliyomo ni matus tupuBora yeye hatukani wanawake kisa kupata views.
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa
Ya kweli haya? Au umoja na wingi tume sahau?Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...
Angalia kichupa hapa
Unaumwa uarusha?uza simu rudi shule
mwalimu wako wa kiswahili ana hasara sana. hakuna ulilojifunza.
Hatuingii, tukiingia tutamuongezea views.Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...
Angalia kichupa hapa
uza simu rudi shule
mwalimu wako wa kiswahili ana hasara sana. hakuna ulilojifunza.
😁 😁 😁 😁Inayobana ni nini hapo?
Umoja. WingiSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Wewe ndio kilaza kabisaSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Jina la wimbo na maudhui yaliyomo ni matus tupu
Huyu jamaa n mda sasa tangia nikutane na comment zake kwenye uzi tofaut tofaut,,,Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Sawaaa..... WCB ni nomaa ingekuwa imeshafika. Biashara ni matangazo my frnds. WASAFI Wana tv radio na mashabikiHuo wimbo sio wake ni wimbo wa eddy kenzo yupo na harmonize
Ulichoandika aibu naona mimi.Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh