Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Aibuuuuu oooohoooohataki kupokewa . na wale vijana aliowaandaa?
Umefungua Uzi ukajificha.Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name?Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
What's my name? Omolo
What's my name? Olunga
Yeah, I heard you good with them Taifa Stars Yeah you know word of mouth The square root of Afcon is Magufuli Bashit-e, right?
game over nilikuambia lazima tukung'ute Taifa failures....@ichoboy01 tukikohoa mnakuja mbio.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nahisi unanukia ccm. Baki huko huko tuu.
Hahahhahahhaa unamkumbuka yule mdoli aliyekula apple lako kipindi kile? Bado yupo macho hajalalaAiseee apple langu niwekee, nimekwambia chukua moja tu. Sasa ukayala yote nkirudi sitokubali ujue
Hahaha hapana ila nachukia wakenya ila wewe ni mnafiki wa wakenya na sio mkenyaKwa hiyo na Mimi unanichukia
Kwa Leo tu jamani, ila time tena hiyoUnajua mimi na wewe hatutakiwi kuongelea Mpira. Remember
Ndiyo ukweli huo.Msianze kiburi, tumewaachia kwa kuwa tulikuwa na mchawi nyumbani tunataka tumkamate ugoni
HahaahahahhaahahahUmefungua Uzi ukajificha.
Harambee stars nilikuwa MWENYEWE hapa nimepambana wewe unakuja baada ya ushindi
Pamoja sana. One love.!!Daah sawa kadada ngoja nikupe ushindi kwa leo
ππππππππHahahhahahhaa unamkumbuka yule mdoli aliyekula apple lako kipindi kile? Bado yupo macho hajalala
Mh sa nifunge huku bashite kaweka mzimu wake pale si ni kujisumbua bureKumbe haukufunga jamani
Weee unawaza tabia mbaya tuu.ndizi ya nini tena usiku kama huu au ndo inasaidia kukunaniii
Of course!Ndiyo ukweli huo.
Tunaipenda Timu yetu lakini kitendo cha kubatizwa jina la Ccm ndiyo imetuumiza. I hope amejifuza next time hatorudia tena.
Yaani Mimi niombee ccm Mimi? Hapo bashite ndipo alipoharibu.
Hahaha hapana ila nachukia wakenya ila wewe ni mnafiki wa wakenya na sio mkenya
I want you to fill the gapFill the gape..!