Leo ni kumbukizi ya kifo cha mzee karume aliyeuwawa tarehe kama ya leo huku mioyo ya wanatanzania ikiwa imejaa damu kutokana na wizi na ufisadi ndani ya mamlaka za serikali.
NCHI YETU HAITAKUWA KAMA ILIVYO MIAKA 50 IJAYO MAANA KWA UFISADI HUU AMBAO HAUKEMEWI NA WANANCHI, IPO SIKU WATAIBUKA WAASI MAMAYE. HUU NI UPUMBAVUUU, WATU WAMEGOMA KUTOKA OFISINI ASEEEE. ET OOOH WATUPISHE DUH... MAMAEEEEE