Happy fathers day to all fathers

Happy fathers day to all fathers

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Leo ni siku kubwa ya kusherehekea ma baba wote .hongera zenu .Nina Imani wake zenu na baby mama wamewanunulia zawadi nzuri na chakula kizuri kushukuru .Happy fathers day to everybody ( fathers )
 
Leo ni siku kubwa ya kusherehekea ma baba wote .hongera zenu .Nina Imani wake zenu na baby mama wamewanunulia zawadi nzuri na chakula kizuri kushukuru .Happy fathers day to everybody ( fathers )

Ahsante sana.

Hii siku huwa haifani sana kwakuwa unaweza kuwa unaitwa baba lakini kumbe mtoto si wako.

Mwenye uhakika wa mtoto ni mama tu. Ahsanteni wamama kwa kutuzalia watoto hata kama ni wa kubambikiwa. Kizuri ni heshima mnayotupa ya kuitwa baba nanihii.
 
na wanamuziki nao watutambuwe angalau watutungie japo kawimbo kamoja, siyo kila siku dear mama tu.
 
Happy fathers day! Love you so much my Dad! You are my Hero!
 
ha ha, baba matesha karibu chakula.

Ahsante sana.

Hii siku huwa haifani sana kwakuwa unaweza kuwa unaitwa baba lakini kumbe mtoto si wako.

Mwenye uhakika wa mtoto ni mama tu. Ahsanteni wamama kwa kutuzalia watoto hata kama ni wa kubambikiwa. Kizuri ni heshima mnayotupa ya kuitwa baba nanihii.
 
happy is he that hears gentle voices calling him father ...happy fathers day ..!!!
 
Leo ni siku kubwa ya kusherehekea ma baba wote .hongera zenu .Nina Imani wake zenu na baby mama wamewanunulia zawadi nzuri na chakula kizuri kushukuru .Happy fathers day to everybody ( fathers )

aisee,nilikua cjui,ngoja nimwambie waif aninunulie hata boxer dah
 
Leo ni siku kubwa ya kusherehekea ma baba wote .hongera zenu .Nina Imani wake zenu na baby mama wamewanunulia zawadi nzuri na chakula kizuri kushukuru .Happy fathers day to everybody ( fathers )
Leo ni siku ya kusherekea ma baba kwa mujibu wa nani, azimio la Umoja wa Mataifa?

Ni wapi huko mnasherehekea siku ya ma baba leo?
 
Leo ni siku ya kusherekea ma baba kwa mujibu wa nani, azimio la Umoja wa Mataifa?

Ni wapi huko mnasherehekea siku ya ma baba leo?
Especially USA mpaka kanisani tumewaOmbea.ni sherehe haswaaaa
 
Especially USA mpaka kanisani tumewaOmbea.ni sherehe haswaaaa
right, kwa hiyo mkiongelea hizi mada za sikukuu muwe specific ni nchi gani tunaongelea, sio huku kwetu sisi hatuna cha father's day wala daughter's day wala nothing like that, tuna sikukuu za kutosha tayari za hili li Muungano letu
 
Back
Top Bottom