Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Leo tarehe 9 Desemba 2020 ni siku ya kumbukizi ya Kupata uhuru wa Taifa la Tanganyika lakini pia ni siku ya kukumbuka kuzaliwa kwa Mwanasiasa mashuhuri Freeman Aikael Mbowe.
Mheshimiwa Mbowe sio tuu kuwa alizaliwa tarehe hii ya Uhuru Bali ni kuwa alizaliwa siku hiyo ambayo Tanganyika ilipata Uhuru wake.
Hili jambo sio coincidence bali pengine Mungu alikuwa na mipango yake kwetu.
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN MBOWE.
Mheshimiwa Mbowe sio tuu kuwa alizaliwa tarehe hii ya Uhuru Bali ni kuwa alizaliwa siku hiyo ambayo Tanganyika ilipata Uhuru wake.
Hili jambo sio coincidence bali pengine Mungu alikuwa na mipango yake kwetu.
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN MBOWE.