Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,730
- 9,907
Wakuu Leo ni ni siku ya Kuzaliwa ADRIAN HILLARY STEPP aliekuwa EATv ambae sasa yupo AZAM Tv two.
Hope mnajua ni mdau wetu.
Chanzo cha Habari ni AZAM Two na mtoa habari ni yeye mwenyewe kwa kuimbiwa na Mtangazaji mwezie Zainab Chondo
ADRIAN Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka zake,akulinde na shari za dunia na huko tuendako.Akupe hekma na uvumilivu katika ukubwa(ndoa),akupe hekma za kumlea Binti yako na wanaokuja kama ulivyolelewa wewe.
Mungu akujaalie Jpili hii ukienda kanisani utoe pesa ya noti na sio Coins ili kubariki siku yako ya kuzaliwa
"AMEEEEEN"
Hope mnajua ni mdau wetu.
Chanzo cha Habari ni AZAM Two na mtoa habari ni yeye mwenyewe kwa kuimbiwa na Mtangazaji mwezie Zainab Chondo
ADRIAN Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka zake,akulinde na shari za dunia na huko tuendako.Akupe hekma na uvumilivu katika ukubwa(ndoa),akupe hekma za kumlea Binti yako na wanaokuja kama ulivyolelewa wewe.
Mungu akujaalie Jpili hii ukienda kanisani utoe pesa ya noti na sio Coins ili kubariki siku yako ya kuzaliwa
"AMEEEEEN"