donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
salama wakuu? Naomba tushee experience. Mara ya kwanza kutongoza/kutongozwa na k2 kikakubali ilikuaje? Aisee nakumbuka mimi nilikua darasa la 7,mtoto alinisumbua lakini nikaja kumuweza baada ya kumwimbia wimbo wa nimekuchagua wewe wa bob rudala na i need a girl. Dah nilifurahi usipime,nikajiona bonge la kidume japo baada ya wiki 3 nilikula kibuti