Hapendwi mtu jama....

Mdudu Wa Masala

Senior Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
134
Reaction score
79
Jamaa karudi toka job
mpole!
MKE: vipi leo mbona
mapema na mpole?
MUME: ofisi yetu imeungua
na watu wote wamekufa,
MKE: ilikuwaje wewe
ukapona?
MUME: nilikuwa chooni,
jirani na ofisi najisaidia.
MKE: Loh masikini familia na
zao itakuwaje?
MUME: watalipwa milioni
900 kila mfiwa.
MKE KWA HASIRA: ona sasa
na wewe kunya kunya
kwako umetukosesha
mihela..ungeenda kunya
akhera...... Duuuuuuhhh
 
Hahahah habari ndio hiyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

za kitamboo.!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…