Hapa utamwaga chakula au utakausha?

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Your browser is not able to display this video.
 
Reactions: Oho
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ulivyo na kinyaa lazima utaongezea chembechembe za ugaidi kwenye chakula.

Kwani hawawezi kugongea mayai kwenye chombo kingine ndio wakamimina kwa chakula?
Ndivyo inavyotakiwa kugongea mayai pembeni, hata ukiwa unagonga mengi inatakiwa kuwa na vyombo viwili. Shida ni tunakuwaga na haraka haraka na kulizoea jiko.

Hivi unajua kupika hata kidogo kweli wewe? ulipika lini mwisho?
 
Ndivyo inavyotakiwa kugongea mayai pembeni, hata ukiwa unagonga mengi inatakiwa kuwa na vyombo viwili. Shida ni tunakuwaga na haraka haraka na kulizoea jiko.

Hivi unajua kupika hata kidogo kweli wewe? ulipika lini mwisho?

Kunae jiko siku hizi napika balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…