hahaha mkuu hapo ni mufindi
umegezea....
nina swali, kwa hyo wakishavuna miti inabaki hiyo picha ya chini?
nina swali, kwa hyo wakishavuna miti inabaki hiyo picha ya chini?
Hapa patakuwa unapo pajuwa wewe tuambie basini wapi hapo?
Sinauhakika lakini mimi pia nahisi kama ulivyo eleza