Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Wengi wa wtz wanadhani kufanyiwa maendeleo ni msaada wa sisiemu na si haki yao.Utashangaa na kuzimia nikikuambia kwamba nusu ya wanawake hawa wanaosota hapo hospitali wameipigia kura ccm juzi 25/10/2015!!!!!!!!! Nyani Ngabu, hebu lete ile signature yako hapa!
Miafrika Ndivyo Tulivyo- Nyani Ngabu wa JFUtashangaa na kuzimia nikikuambia kwamba nusu ya wanawake hawa wanaosota hapo hospitali wameipigia kura ccm juzi 25/10/2015!!!!!!!!! Nyani Ngabu, hebu lete ile signature yako hapa!
Tunayo mengi ya kuongea. Na kuanzia sasa yatazidi kuongezeka, ila kwa sasa tunatafakari jinsi Nape alivyokanusha ahadi ya Magufuli ya "Kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi".Hii picha UKAWA ndio ngao yao.
Ya zamani sana, na imeshawekwa hapa mara nyingi mno.
Tuwaachie UKAWA na wao wapate la kuongea, maana wamekuwa wakimya mno.
UKAWA njooni mchangie hapa ili mpate kupunguza maumivu mlio nayo.
Rais Magufuli, anawanyima raha watu kupita maelezo
Tunayo mengi ya kuongea. Na kuanzia sasa yatazidi kuongezeka, ila kwa sasa tunatafakari jinsi Nape alivyokanusha ahadi ya Magufuli ya "Kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi" https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=966861&p=14518001&posted=1#post14518001Hii picha UKAWA ndio ngao yao.
Ya zamani sana, na imeshawekwa hapa mara nyingi mno.
Tuwaachie UKAWA na wao wapate la kuongea, maana wamekuwa wakimya mno.
UKAWA njooni mchangie hapa ili mpate kupunguza maumivu mlio nayo.
Rais Magufuli, anawanyima raha watu kupita maelezo
Tunayo mengi ya kuongea. Na kuanzia sasa yatazidi kuongezeka, ila kwa sasa tunatafakari jinsi Nape alivyokanusha ahadi ya Magufuli ya "Kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi" https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=966861&p=14518001&posted=1#post14518001