Hapa ndio wapi?

nimecheka sana,mtu kauliza hapo wapi kuna wengine wameanza mahabati,wamejisahau kama wapo kwenye uzi wa watu,na sie tunawadeku tu kwa chati,kweli mapenzi upofu!
 
πŸ™‚ πŸ˜‰ πŸ™ πŸ˜€ 😱 😳 πŸ™„ 😡 hmm!...
 
hiyo huduma si mchezo. waache wafaidi tu wenye wake 'waelewa'...
 
nimecheka sana,mtu kauliza hapo wapi kuna wengine wameanza mahabati,wamejisahau kama wapo kwenye uzi wa watu,na sie tunawadeku tu kwa chati,kweli mapenzi upofu!
tulia chief.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…