Hapa kuna mapenzi kweli

Mapenzi yapo bloo. Si ameshakwambia yeye 'cio wale wanaake wenye tamaa za pesa, cpo hko kbxa anajiongeza jinci ya kupambana mwenyewe apate hizo laba avae hyo tar nne' .......

Ila mnajuana wenyewe na uandishi wenu huo aisee. Ndege wafananao huruka pamoja.

Mapenzi yapo hapo bloo. Mnunulie 'laba' uone hiyo tarehe nne kama haji.
 
Hivi vizinga vidogo kama raba vitatue au kutengeneza simu mizinga isiyokuwa na maana ikizidi kupitiliza ni haki yako kukataa tofaut na hapo kama hayo machache yanakushinda unayumba
 
Eti amejitolea!!! Mapenzi ya kujitolea ndio yapoje? Msaada? Huruma ama nini? Mwambie akajitolee kwingine pesa huna mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…