Hapa hakuna kulala,alali mtu

We kitu kinakupa kwa nyuma huku kinakatika utalala kweli? Labda kama sio mmbantu! We huoni bonge anataka kukiangukia kabisa huku nae anakikatikia? Hapo mboga moto ugali moto! Eboo!
 
Hahaaa ni waheshimiwa hao....Lol
Rahaaa utamuuu
 
umbe ana uwezo wa kuwa makini kwenye hayo mambo ila kuwawakilisha wananchi walompelka bungeni anashindwa kuwawakilisha na kuishia kulala
 
Kudadadeki,Watu na fani zao bana,huyu jamaa akiwa bungeni ni usingizi kwa kwenda mbele,kumbe ffani yake ndo hiyo,cheki alivyo mwepesi na makini
 
We kitu kinakupa kwa nyuma huku kinakatika utalala kweli? Labda kama sio mmbantu! We huoni bonge anataka kukiangukia kabisa huku nae anakikatikia? Hapo mboga moto ugali moto! Eboo!

Mbona mnatuvunja mbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…