Nakumbuka shujaa Magufuli akiwa kwenye mkutano mmoja pale njia panda ya Kilosa alisema yeye hawezi kusaini hukumu ya kifo na wote waliohukumiwa kipindi chake wako magereza na kamwe hatasaini
Nadhani ndio hawa aliowazungumza Lisu mahakamani Leo
Nakumbuka shujaa Magufuli akiwa kwenye mkutano mmoja pale njia panda ya Kilosa alisema yeye hawezi kusaini hukumu ya kifo na wote waliohukumiwa kipindi chake wako magereza na kamwe hatasaini
Nadhani ndio hawa aliowazungumza Lisu mahakamani Leo
Nakumbuka shujaa Magufuli akiwa kwenye mkutano mmoja pale njia panda ya Kilosa alisema yeye hawezi kusaini hukumu ya kifo na wote waliohukumiwa kipindi chake wako magereza na kamwe hatasaini
Nadhani ndio hawa aliowazungumza Lisu mahakamani Leo
Hivi umeshawahi kwenda kuhiji kwenye kaburi la huyo shujaa wako? Nenda weekend hii Chato ukahiji ili haya maluwe luwe ya huyo shujaa wako yakutoke kichwani maana yanelekea kukusababishia uchizi fresh.
Hivi umeshawahi kwenda kuhiji kwenye kaburi la huyo shujaa wako? Nenda weekend hii Chato ukahiji ili haya maluwe luwe ya huyo shujaa wako yakutoke kichwani maana yanelekea kukusababishia uchizi fresh.
Ni kweli JPM alikuwa ni SHUJAA!
Alikuwa haidhinishi KUNYONGWA kwa raia wake aliyehukumiwa ki halari na Mahakama, lakini alikuwa akiamrisha raia wake WAUWAWE, bila kufikishwa Mahakamani, au hata kukamatwa na Mgambo!
Ni kweli JPM alikuwa ni SHUJAA!
Alikuwa haidhinishi KUNYONGWA kwa raia wake aliyehukumiwa ki halari na Mahakama, lakini alikuwa akiamrisha raia wake WAUWAWE, bila kufikishwa Mahakamani, au hata kukamatwa na Mgambo!
Ni kweli JPM alikuwa ni SHUJAA!
Alikuwa haidhinishi KUNYONGWA kwa raia wake aliyehukumiwa ki halari na Mahakama, lakini alikuwa akiamrisha raia wake WAUWAWE, bila kufikishwa Mahakamani, au hata kukamatwa na Mgambo!