haniamin coz nimepangiwa mwanza kikaz!

haniamin coz nimepangiwa mwanza kikaz!

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
habari za umu wana mmu
Baada ya kuamua kua na mpenzi wangu huyu kwa shida na raha na kujiahd moyon kwangu kua wil neva leave her side,,,,kioja kimekuja baada ya mm kupangiwa kikaz jijin mwanza ambapo anadai lazma ntabadilika na kumsahau kutokana na mwanza kuwepo na warembo weng ambao kimsing lazma ntalaghaika!,,,najarib kumpa uhakika wa maisha yake kua sintomtenda na kama ntazidiwa bas ntakua namfuata alipo lakin ata ivo anaelewa kishingo upande!,,
Iv n kwel ukiwa mwanza lazma umsahau laaziz wako?
 
Samahani magombe junior kwa nitakachokueleza ila labda huo ndo ukweli,

inawezekana wewe mwenyewe huaminiki yaani namaanisha umemfanya asikuamini kutokana na tabia zako,labda umekuwa mtu wa kupenda matani na wadada ya kupita kiasi ambayo huenda yakapelekea wewe kusaliti,au labda ameshawahi kukuta mazingira hatari na mwanadada mwingine,au sms za ajabuajabu kwenye simu yako,sasa kwa hapo unafikiri trust itatoka wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kama anakupenda kweli atakuamini,ila wewe hayo unayo yasema niyakweli kua hutomsaliti?
 
Samahani
magombe junior kwa nitakachokueleza ila labda
huo ndo ukweli,

inawezekana wewe mwenyewe huaminiki yaani namaanisha umemfanya
asikuamini kutokana na tabia zako,labda umekuwa mtu wa kupenda matani na
wadada ya kupita kiasi ambayo huenda yakapelekea wewe kusaliti,au labda
ameshawahi kukuta mazingira hatari na mwanadada mwingine,au sms za
ajabuajabu kwenye simu yako,sasa kwa hapo unafikiri trust itatoka
wapi?

uyu mpenz wangu sina muda nae mref kimahusiano ila alikua akinijua chuo na alikua akiniona nna mambo meng,,ila mpaka aliamua kua na mm it means i have somethn she appreciate,,,coz uyu mtt nim-prety,,smart na anaweza kua na yeyote,,,ila nashangazwa na kwann aamue kua na mm ilhal aniamin kua cntoweza kumchit!
 
Last edited by a moderator:
Kama anakupenda kweli atakuamini,ila wewe hayo unayo yasema niyakweli kua hutomsaliti?

as niliamua kua nae serious imemanisha cntaruhus shetan uyo (wa kumsalit)aniingie,,,ntajiepusha na mazngra ambayo nahc yanaweza kua hatarish kwang!,,
I realy do love this gal,,,i wana marry her 4 sure
 
We nenda mwanza kapge kazi acount itune achana na huyo kiumbe.kama hatak kukuamin hlo ni kosa lake yeye.
 
For me Long Distance relationship SUCKS

After a while it gets too uncertain,
and it is too hard to trust anybody who you do not see on a daily basis.
 
ndo hiyvo banah we furahi tu huyo anaonesha kuwa anakupenda na hataki kukupoteza wenzio wanawish kupata chance japo ya kuonewa wivu(a joke)

mkuu kwa vile hali ndivyo ilivyo sasa na huwezi kuibadili we endelea kumhakikishia kuwa unampenda na huwezi kumcheat na ukifika huko mfanye ajihisi karibu yako na anaoccuppy,usimfanye ajihisi unamcheat kama kutopokea simu kwa muda mrefu,kupitisha siku hata moja bila kumjulia hali na mengine mengi,all the best mkuu in your new relationship.
uyu mpenz wangu sina muda nae mref kimahusiano ila alikua akinijua chuo na alikua akiniona nna mambo meng,,ila mpaka aliamua kua na mm it means i have somethn she appreciate,,,coz uyu mtt nim-prety,,smart na anaweza kua na yeyote,,,ila nashangazwa na kwann aamue kua na mm ilhal aniamin kua cntoweza kumchit!
 
ndo hiyvo banah we furahi tu
huyo anaonesha kuwa anakupenda na hataki kukupoteza wenzio wanawish
kupata chance japo ya kuonewa wivu(a joke)

mkuu kwa vile hali ndivyo ilivyo sasa na huwezi kuibadili we endelea
kumhakikishia kuwa unampenda na huwezi kumcheat na ukifika huko mfanye
ajihisi karibu yako na anaoccuppy,usimfanye ajihisi unamcheat kama
kutopokea simu kwa muda mrefu,kupitisha siku hata moja bila kumjulia
hali na mengine mengi,all the best mkuu in your new
relationship.

thank u 4 concern'
 
habari za umu wana mmu
Baada ya kuamua kua na mpenzi wangu huyu kwa shida na raha na kujiahd moyon kwangu kua wil neva leave her side,,,,kioja kimekuja baada ya mm kupangiwa kikaz jijin mwanza ambapo anadai lazma ntabadilika na kumsahau kutokana na mwanza kuwepo na warembo weng ambao kimsing lazma ntalaghaika!,,,najarib kumpa uhakika wa maisha yake kua sintomtenda na kama ntazidiwa bas ntakua namfuata alipo lakin ata ivo anaelewa kishingo upande!,,
Iv n kwel ukiwa mwanza lazma umsahau laaziz wako?


kwa Post hii utategeka tu na kumsahau............

wengi ni kawaida yao hao ,,,,,,, nenda kapige mzigo
 
Yani kwenda mwanza 2 ndo ahisi utamsalit,ingekuaje kama ungekuja huku los angeles nilipo mimi,c ndo angekufa kwa pressure..huyo demu wako mshamba tu.
 
Weeee! Hivi ushawahi kudate na mitoto ya kisukuma? Nakuhakikishia ukitia maguu huku na akatembelea mitaa ya Villa Park ucku kule Kirumba huyo manzi wako hata jina lake hutolikumbk.
 
For me Long Distance relationship SUCKS

After a while it gets too uncertain,
and it is too hard to trust anybody who you do not see on a daily basis.

Here u gat point...t has been a while bt ts like uliota...kwan una undugu na shehe yahaya?
 
Mapenz ya mbali jaman uvumilivu unahitajika by the way nahis huyo mwanamke wako ndio ataanza kukusaliti usiniulize kwanin
 
hakuna bhana, huyo atakuwa na lake tu. Watu wameishi continents tofauti na bado wakawa na mapenzi sembuse hapo mwanza tu.
Labda atoe sababu nyengine
 
as niliamua kua nae serious imemanisha cntaruhus shetan uyo (wa kumsalit)aniingie,,,ntajiepusha na mazngra ambayo nahc yanaweza kua hatarish kwang!,,
I realy do love this gal,,,i wana marry her 4 sure

Mr Shetani yuko makini sana kama hapo mnaongea wazi wazi hamuaminiani yeye keshaanza kazi yake, Na huyo bibie atajibiwa kama imani yake ilivyo utamsaliti tu.
 
Back
Top Bottom