Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,054 Reaction score 463,971 May 13, 2019 #21 Khantwe said: kumbe Click to expand... Hahahahah ndiwooo
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,054 Reaction score 463,971 May 13, 2019 #22 mshipa said: Haha umeanza lini kunimic we mke mtu Click to expand... Hata sijui jamani mwenyewe najishangaa tu
mshipa said: Haha umeanza lini kunimic we mke mtu Click to expand... Hata sijui jamani mwenyewe najishangaa tu
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 May 13, 2019 #23 joanah said: Ndio wanaaminika kwamba ndio wasomi Click to expand... Bora wewe hukuniwekea hicho kigezo.
joanah said: Ndio wanaaminika kwamba ndio wasomi Click to expand... Bora wewe hukuniwekea hicho kigezo.
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 May 13, 2019 #24 Khantwe said: Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki Click to expand... Marafiki wa nini?
Khantwe said: Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki Click to expand... Marafiki wa nini?
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 May 13, 2019 #25 Unique Flower said: Hey your welcometo find beatiful ladies here Click to expand... Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu.
Unique Flower said: Hey your welcometo find beatiful ladies here Click to expand... Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu.
billionea alpha JF-Expert Member Joined Apr 10, 2014 Posts 1,442 Reaction score 1,662 May 13, 2019 #26 Tell us your purpose, why PM but not here.
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 May 13, 2019 #27 Mmh anajua mwenyewe Don Clericuzio said: Marafiki wa nini? Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,054 Reaction score 463,971 May 13, 2019 #28 Don Clericuzio said: Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu. Click to expand...
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,355 Reaction score 23,084 May 13, 2019 #29 Shunie said: Hata sijui jamani mwenyewe najishangaa tu Click to expand... Unanitia majaribuni ujue
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,054 Reaction score 463,971 May 13, 2019 #30 mshipa said: Unanitia majaribuni ujue Click to expand... Majaribu gani tena jamani we mume wa mtu
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 24,857 Reaction score 89,754 May 13, 2019 #31 Don Clericuzio said: Bora wewe hukuniwekea hicho kigezo. Click to expand... Yeah Nilikupenda bila sababu
Don Clericuzio said: Bora wewe hukuniwekea hicho kigezo. Click to expand... Yeah Nilikupenda bila sababu
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,780 Reaction score 13,684 May 13, 2019 #32 Mbo**oo hainaga lugha
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 24,857 Reaction score 89,754 May 13, 2019 #33 Don Clericuzio said: Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu. Click to expand... Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione utajibuje Nina mpango wa kuhack PM yako manake hapa unaweza kujifanya umepata ila huko PM ikawa different story
Don Clericuzio said: Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu. Click to expand... Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione utajibuje Nina mpango wa kuhack PM yako manake hapa unaweza kujifanya umepata ila huko PM ikawa different story
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,355 Reaction score 23,084 May 13, 2019 #34 Shunie said: Majaribu gani tena jamani we mume wa mtu Click to expand... ngoja nifike hapo mbele nakuja saivi
Shunie said: Majaribu gani tena jamani we mume wa mtu Click to expand... ngoja nifike hapo mbele nakuja saivi
Zeus1 JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 7,270 Reaction score 9,414 May 13, 2019 #35 Khantwe said: Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki Click to expand... Marafiki wawe single tu..
Khantwe said: Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki Click to expand... Marafiki wawe single tu..
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 May 13, 2019 #36 joanah said: Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione utajibuje Nina mpango wa kuhack PM yako manake hapa unaweza kujifanya umepata ila huko PM ikawa different story Click to expand... Huhitaji ku-hack, nakupa tu password.
joanah said: Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione utajibuje Nina mpango wa kuhack PM yako manake hapa unaweza kujifanya umepata ila huko PM ikawa different story Click to expand... Huhitaji ku-hack, nakupa tu password.
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 May 13, 2019 #37 Shunie said: Click to expand... Shunie yaani kote umeona hii!
Norshad JF-Expert Member Joined Jun 3, 2013 Posts 5,216 Reaction score 12,603 May 13, 2019 #38 yaan huyu ana toa tundu na anapiga miti so waingereza mjipange kama sijaelewa vizuri
if cap fits JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 1,477 Reaction score 2,085 May 13, 2019 #39 Hawa watu hawajafunga shule kweli....mana hawa wakishajua yes..no ni tatizo tayari.
S St Lunatics JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 6,644 Reaction score 11,195 May 13, 2019 #40 Don Clericuzio said: Hili dili la kiingereza limekuwa muhimu sana kwenye uchumba humu JF. Click to expand... Na hili ndio sababu wazungu wanajiona bora kuliko sisi ngozi nyeusi, Dini wametuletea wao(white jesus) Lugha yao tunaipenda kuliko yetu. Majina yao tunayapenda, mavazi yao tunayapenda na kuyachukia kila letu. Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Don Clericuzio said: Hili dili la kiingereza limekuwa muhimu sana kwenye uchumba humu JF. Click to expand... Na hili ndio sababu wazungu wanajiona bora kuliko sisi ngozi nyeusi, Dini wametuletea wao(white jesus) Lugha yao tunaipenda kuliko yetu. Majina yao tunayapenda, mavazi yao tunayapenda na kuyachukia kila letu. Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ