i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Wadau nina rafiki yangu anaitwa G ni mwanachuo mwenzangu hapa mkoani Mwanza.Napata shida sana kumpa ushauri juu ya hili.Yeye anampenz wake ambaye kila siku lazma afke anapoishi akitoka chuoni anakusoma.Baadaye mwanamke akachanganykiwa na penz mpaka chuo haend ila anashnda kwa rafk yangu kila siku anataka amuone.Zaman alikuwa anamtoa rafk yangu akiwa hana pesa sku hz mpaka hal iwe mbaya sana ndo anamsaidia.rafk akchunguza mambo mengne yamebadlka lakn sku aliwekewa mtego had na dada wa mpenz wake kumbe alikuwa anachunguzwa kama anafaa kuwa na ndugu yao.Yeye hana kazi anaingza kpato kdogo mwanzon msichana alimpenda rafk yangu,lakn mapenz yamemfanya rafk yangu nae kupenda zaid.hana kaz bado anasoma mwanamke kaganda je afanyaje kpnd hk ili aweze kumudu penz lake.