Hamisa Mobetto: Nilitundikwa mimba mara tatu na Diamond

Yule binti anampenda Diamond sana na bado anataka authibitishie umma kua aliweza kua nae saa nyingine hata shule hizi zinachangia labda wao kua vile yaani kuropoka kila kitu

Yan next time atakuja kutuambia had style walizofanya kumpata Dylan... she is too much

Mbona tanasha ambaye ni formal ex friend wa domo tena yeye walilea mimba wote na kuishi wote, mbona haropokag huu ungese? ,mind you alishakula kichambo Heavy cha kuitwa mchawi hadharan ye bado anakipeleka, umaskin mbaya sana
 
Wewe ni mnafiki balaa so ulitaka atelekeze kisiri siri. Kijana nilikuonaga wa maana ila duh huna tofauti na wale nzi wa kijani wanaoshinda kwenye taka taka na vyoo vya uswahilini.

Mwambie tununu familia haimtaki. Huwa anajiona kadogo hana watoto wengi kumbe keshaflash wa kutosha.kidomo kile kama kinyeo cha kuku pheeeeewwwww

Anajiaribia Cv,yan anapenda sana kiki kupitia Diamond, akiitwa kwenye enterview tu kosa, ataelezewa Diamond mwanzo mwisho, ngoja siku domo amchambe hadharan ndo akome kumtaja taja hovyo mxieew.
 
Nashangaa hamtaji majizo utadhan watoto wote kazaa na domo. Tununu hajielewi kabisaa matusi yote yale bado anatamani kuitawala madale
Anajiaribia Cv,yan anapenda sana kiki kupitia Diamond, akiitwa kwenye enterview tu kosa, ataelezewa Diamond mwanzo mwisho, ngoja siku domo amchambe hadharan ndo akome kumtaja taja hovyo mxieew.
 
Leo nakubali hoja yako me bahati nzuri kwenye black naiita black na kwenye White naiita white kwenye Hili Hamisa mobetto kachemsha

Yuko radhi hajidhalilishe kisa aonekane na yeye alikua girlfriend wa domo

Kinachomuuma sana hamisa ni kutokua formal girfriend wa Diamond , yan anaumia sana yani , so she is trying so hard aonekane na yeye Alikua girlfriend
 
Hakuna kitu sikipendi kama kutoa siri za kwenye mahusiano yako , huyo hajitambui kwa hiyo kupachikwa mimbatatu zilienda wapi kama sio kuishia kuzitoa umeshaambiwa na mkwe usilazimishe ukoo kwa nguvu

sent from HUAWEI

Kinachomuuma ni Diamond kutomtambulisha kwa jamii as his girlfriend, so anajaribu kila hali aonekane alikua anadate na Diamond

Halafu raha ya mapenzi mwanaume ndo akuongelee wewe, mbona domo akienda enterview hana time na yeye, li hamisa linatia sana hasira,, imebak. Kidogo tu aseme had style walifanya wakamzaa Dylan
 
Yan next time atakuja kutuambia had style walizofanya kumpata Dylan... she is too much

Mbona tanasha ambaye ni formal ex friend wa domo tena yeye walilea mimba wote na kuishi wote, mbona haropokag huu ungese? ,mind you alishakula kichambo Heavy cha kuitwa mchawi hadharan ye bado anakipeleka, umaskin mbaya sana
Hamisa ni mshamba Sana Period
 
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefichua siri kuwa wakati Diamond akiwa na Zari walikuwa wanakutana na kwa siri na akafanikiwa kutundikwa mimba tatu na Diamond ambapo mbili zilitoka na moja wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume Dylan.

Faida ya kujianika hivi ni nini?

====

Tanzanian model Hamisa Mobetto has sensationally claimed that Bongo star singer Diamond Platnumz wanted to have a child with her so desperately while married to Ugandan socialite Zari Hassan that he got her pregnant three times.

Mobetto however disclosed that they lost the initial two pregnancies before they got their son.

Diamond and Mobetto got a son, Dylan Nasseb, out of wedlock in August 2017.

At the time, the Cheche singer was in a relationship with Zari, who was then based in South Africa, and whom she had been cheating on with the beautiful model.

After the arrival of their baby, Mobetto and Diamond had a nasty fallout and at one point the outgoing model was forced to drag the singer to court for child support.

Recently, in a radio interview, she was asked if Diamond ever asked for a DNA test to ascertain if the boy was indeed his.

“Nadhani katika mtu mwenye uhakika zaidi kuhusu mtoto kuwa ni wake au sio wake ni Diamond, kwa sababu hata kabla sijapata mimba ya Dylan, nilishapata ujauzito wake mara tatu na bahati mbaya ukaharibika,” Hamisa responded to The Switch Team.

When reports emerged that Mobetto was expecting Diamond’s baby, the bongo flava star was quick to refute them in an attempt to save his marriage to Zari.

He eventually owned up that he indeed cheated on Zari and sired a child with Mobetto.

The singer even vowed he would do anything to salvage his four-year relationship with Zari before she Zari eventually dumped him on Valentine’s Day in 2018.

View attachment 1602059
Diamond Nyange kafanya hivyo kwa ZUCHU, kamtoa Bikra na mimba ila inasemekana mbili zote zimechoropolewa, vyanzo vya ndani kabisa vinasema hayo.
 
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefichua siri kuwa wakati Diamond akiwa na Zari walikuwa wanakutana na kwa siri na akafanikiwa kutundikwa mimba tatu na Diamond ambapo mbili zilitoka na moja wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume Dylan.

Faida ya kujianika hivi ni nini
huyo hajitambui,fainali uzeeni,anaona sifa kutoa mimba
Hamisa yeye yupo na Zari tu,hata sielewi Zar alimfanya nini Hamisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom