Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
hahahaaaaaaa Siku hizi Ujanja kujiunga na Chadema
chadema ndio kitu gani?
Sema hivi anakohamia zitto ndiyo wataenda wote kundi la wezi na wapuuzi.Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
Sema hivi anakohamia zitto ndiyo wataenda wote kundi la wezi na wapuuzi.
kigwangala siyo mtu wa kumuamini
Ikiwa ni ukweli basi ujuwe anachunguzwa na TAKUKURU na vyombo vingine vya uchunguzi kuhusiana na escrow.
Tutasikia na kuona mengi kuelekea uchaguzi, ya uongo haya, ya kweli haya, ya porojo haya.
Aende tu huko CHADEMA mtu mwenyewe akili hana
Huyu ana laana ya kumtelekeza baba yake, Aende tu mwana kwenda
Ahamie sasa hivi, asisubiri mwisho wa bunge.
We ndo hii yako uliyonayoAende tu huko CHADEMA mtu mwenyewe akili hana
Na waje tu kama wanakuja lkn style yao mi sijaipenda kwani wanapokuja kupitia mikutano na waandishi wa habari au mikutano mikubwa ni wazi kuwa wanahamia kwenye chama na status quo zao. Wanaendelea kuwa nation level kitu ambacho kina wavunja moyo vijana na wanachama wetu waliokipigania chama mpaka level hii kwa majasho na wakati mwingine damu zao. Ingekuwa pouwa zaid wangekuja kwenye chama waje kama wanachama wa kawaida na wakajenge chama kama sisi tunavyofanya huku kwenye misingi! Chama kimeshajengwa hiki na wajenzi wetu bado wapo na wana ari ya kufanya finishing pia bado wana ujuzi wa kutosha bila kuchanganya na hao waoga type ya kina kigwangala. Ki ukweli kama wanataka waje lkn mikia yao wakunjie ndani ya miguu yao. Wawe na adabu lkn wakumbuke huku cheo kinapatikana baada ya hard work ya kutoa chama level flan kwenda level ya juu nzuri. Hapa cdm tunafanya kazi kama mchwa. Kiufupi siungi mkono kupokea makapi
Wawahi kabla hajafunga milango
Na waje tu kama wanakuja lkn style yao mi sijaipenda kwani wanapokuja kupitia mikutano na waandishi wa habari au mikutano mikubwa ni wazi kuwa wanahamia kwenye chama na status quo zao. Wanaendelea kuwa nation level kitu ambacho kina wavunja moyo vijana na wanachama wetu waliokipigania chama mpaka level hii kwa majasho na wakati mwingine damu zao. Ingekuwa pouwa zaid wangekuja kwenye chama waje kama wanachama wa kawaida na wakajenge chama kama sisi tunavyofanya huku kwenye misingi! Chama kimeshajengwa hiki na wajenzi wetu bado wapo na wana ari ya kufanya finishing pia bado wana ujuzi wa kutosha bila kuchanganya na hao waoga type ya kina kigwangala. Ki ukweli kama wanataka waje lkn mikia yao wakunjie ndani ya miguu yao. Wawe na adabu lkn wakumbuke huku cheo kinapatikana baada ya hard work ya kutoa chama level flan kwenda level ya juu nzuri. Hapa cdm tunafanya kazi kama mchwa. Kiufupi siungi mkono kupokea makapi[/QUOTE
sina la kusema kwani umemaliza yote yaliyoujaa moyo wangu. tumejifunza kwa shibuda hatuhitaji shibuda mwingine. yawekana kipindi hicho wagombea walikua haba ndio maana walimpa nafas shibuda agombee.ila. sahv cdm ina vijana wengi sana wanasubir wapewe nafas tu wapige kazi
CCM ni kama Sir Alex Ferguson. Mchezaji akijifanya much know ; tupa kule.
Kama ni harakati za ukweli,kufa na kupona,mbona kina mwakyembe na Filikunjombe wanazichapa sana. Kwamba yeye kaona shida gan?
Napendekeza aendage Chadema tu. Yaana tutakuwa tumeuza #galasa kama tulivowauzia #SHIBUDA . Mlijua ni jembe. Sasa mnahaha nakuliona zigo la mavi.
cc: HKigwangalla
Mheshimiwa soma thread hii uone jinsi unavyoboa watu.
CCM hawakutaki, soma hawa
na CHADEMA hawakutaki pia.
Jiulize kulikoni???????
Bado bunge halijavunjwa?Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.