Kama hutaki kuamini mimi nakuacha na ujinga wako,watanzania wamezinduka na hawarudi tena CCM.Chama kinaendeshwa kibabe sana,ni watu wachache sana ndio wanaofanya maamuzi ya chama ,ufisadi,rushwa,udini,ukabira,umafia ndio sera ya CCM.Kwa heri CCM uende jehanamu.Ni chama cha kutukana watu,na ni chama cha kifamilia,ni chama cha kubeba majina ya watu watano mfukoni.Ogopa CCM kama ukoma