akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Kupitia mizani ya wiki UTV nimemuona jamaa hapa chini akielezea alivochukua taaluma ya uchawi miaka mitatu na kufanya tafiti zake maeneo ya kanda ya ziwa. Nikamkumbuka moja kwa moja mh. Mshana jr. Nikafikiri labda ni yeye ninayesoma makara zake hasa zilizojikita huko. Ombi langu kama mushana upo hapa ninakuomba uniondoe kwenye sintofahamu. Maswali yangu ni je uchawi unasomewa? Na vyuo hivyo viko wapi? Na je niliyemuona huyo wa utv ni mshana.BAKI NDANI KORONA IPO.