Halotel's University Offer

Mujaahed

Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
23
Reaction score
1
Habari za muda huu wakuu

Nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu vifurushi vya chuo vya halotel ambavyo nimesikia vimetangazwa hivi karibuni...#
 
Huduma ipo ila bdo haijasambaa na iko hivi kwamba kuna laini zinatolewa kwa dealers kwa ajili ya kusajili watu walio chuo na huduma imezinduliwa leo.
 
 

Attachments

  • 12373309_1538045873183373_610177953762671227_n.png
    140.3 KB · Views: 1,263
Ni special kwa university students means lazm uwe na student ID card.. Ne nnayo nko udsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…