Mutu Imara
New Member
- Aug 19, 2021
- 0
- 1
Pole. Ikiisha nunua la week tena ata la buku, linafufua lile lililoexpire.Nilinunua intaneti yenye mega bite (MB) 1024 kutoka kwny kifurushi cha wiki cha Mega bundle,ila cha ajabu kila nikifungua video zinachukua muda mrefu sana kufungua au mara nyingine hazifunguki kabisa,nikijaribu kupiga simu katika kitengo cha huduma kwa wateja simu zao zinakuwa zinatumika muda wote (busy)
Sasa imebaki siku moja kifurushi kiishe muda wake na sijaweza kukutumia.
Huu sio wizi jamani?
Ni kweli kabisa mimi hununua ile ya mwezi ya 4G GB 10 kwa elfu 10. Ikikaribia kumalizika muda na bado kuna GB zangu 4 naongeza cha wiki cha elfu mbili then inaunganishwa na salio langu la 4gb maisha yanasonga.Pole. Ikiisha nunua la week tena ata la buku, linafufua lile lililoexpire.
Hapa ndio ninapo penda Halotel.
Mfano mimi nanunuaga la week. Nikiwa na hela nanunua GB7 kwa buku 5. Kiki expire nazimua na MB 500 ya buku kwa wiki inafufua ata ile ilioexpire.
Jana nilinunua la buku.
View attachment 1916986
Ikafufua ilioexpire.
View attachment 1916990
Hii itakuwa kwako tuPole. Ikiisha nunua la week tena ata la buku, linafufua lile lililoexpire.
Hapa ndio ninapo penda Halotel.
Mfano mimi nanunuaga la week. Nikiwa na hela nanunua GB7 kwa buku 5. Kiki expire nazimua na MB 500 ya buku kwa wiki inafufua ata ile ilioexpire.
Jana nilinunua la buku.
View attachment 1916986
Ikafufua ilioexpire.
View attachment 1916990
Duh,hii ni kwa line zote za halotel au zile special,.?? Mimi mbona sipati🙄🙄 Ila hawa jamaa wanakuja kasi kwa utapeli,😏Pole. Ikiisha nunua la week tena ata la buku, linafufua lile lililoexpire.
Hapa ndio ninapo penda Halotel.
Mfano mimi nanunuaga la week. Nikiwa na hela nanunua GB7 kwa buku 5. Kiki expire nazimua na MB 500 ya buku kwa wiki inafufua ata ile ilioexpire.
Jana nilinunua la buku.
View attachment 1916986
Ikafufua ilioexpire.
View attachment 1916990
Pole. Ikiisha nunua la week tena ata la buku, linafufua lile lililoexpire.
Hapa ndio ninapo penda Halotel.
Mfano mimi nanunuaga la week. Nikiwa na hela nanunua GB7 kwa buku 5. Kiki expire nazimua na MB 500 ya buku kwa wiki inafufua ata ile ilioexpire.
Jana nilinunua la buku.
View attachment 1916986
Ikafufua ilioexpire.
View attachment 1916990
Mimi nilizinduka kitambo mkuu nina zaidi ya miezi mitatu sijaitumia line yao, hata ulaji wa mb uko kasi sana, saiv naunga 1gb kwa sh elfu moja voda natumia siku 4, naridhika kwa kweli.
Kwamba ukizima simu usiku ukiwasha asubuhi unakuta bando limeishaHao wangese nimewachoka leo nilikuwa nangoja wanao sajili laini nihame limtandao lao la kifisadi bando halikai uwashe data usiwashe
Mimi nilizinduka kitambo mkuu nina zaidi ya miezi mitatu sijaitumia line yao, hata ulaji wa mb uko kasi sana, saiv naunga 1gb kwa sh elfu moja voda natumia siku 4, naridhika kwa kweli.
Akina Tigo nahis unawaongelea, naungaga halo kwa mwez ya elf40 ila kasi yao sometyms inasikitisha, kupata LTE kasi kabisa ni maeneo machachewako hao wengine ni hatari sana wanakwambia 500 unapata mb 200 na muda lukuki weka sasa uone kazi