Halotel ni kiboko kwa internet speed

Hawajafunga 3G minara yao yote.

Kwenye district ambayo ninaisimamia mimi tokea tunaanza kuingia mikataba na wenye maeneo hadi kumaliza ujenzi wa towers, siyo minara yote tuliyofunga 3G japo minara mingi ni ya 3G.

asante kwa kutuelimisha hilo maana wao wanajinasibu kuwa wamefunga 3g minara yote.
 

Mpaka sasa inawateja wangapi?....huoni uchache wa wateja wao unachangia hilo?
 
Mpaka sasa inawateja wangapi?....huoni uchache wa wateja wao unachangia hilo?
ina wateja wachache ila kuna jamaa yangu yupo kitengo cha optmization kaniambia hilo ndio lengo lao.
 
ina wateja wachache ila kuna jamaa yangu yupo kitengo cha optmization kaniambia hilo ndio lengo lao.

Lengo la kuwa na wateja wachache? Au sijakupata vizuri
 
Hapa naangalia ligi ya uingereza kwenye laptop yangu kwa raha zangu, Asante halotel
 
asante kwa kutuelimisha hilo maana wao wanajinasibu kuwa wamefunga 3g minara yote.

Mkuu nasikia hawa jamaa wamewekewa speed governor ili wasithreat mafisadi ,vodacom,airtel,tigo maana haiwezekani kamponi changa inaanza na vifurushi vya gharam hivy ,mara mb 8
 
Mkuu nasikia hawa jamaa wamewekewa speed governor ili wasithreat mafisadi ,vodacom,airtel,tigo maana haiwezekani kamponi changa inaanza na vifurushi vya gharam hivy ,mara mb 8

kwani hao kina voda na tigo pia si wameamrishwa watenganishe vifurushi vya data na mb?

hapa huwezi ulaumu mtandao wowote ule mbaya wetu ni TCRA kinachotakiwa ni kuwahimiza warudishe mfumo wa zamani

na kama walikua na nia kweli hao Halotel basi hata hivyo vya mb tupu wangetupa mb nyingi lakini na wao wanakaba koo vile vile tena vifurushi vyengine wanakaba kuliko hao wazoefu. nikipata muda nitaeka comparison ya vifurushi vya mitandao yote.
 

hahahaha! Mkuu Sad eyes umenifurahsha sana doh! Download download??
 
Nimetumia halotel nikiwa Moshi speed yake sio mchezo! Wakijitahidi kusambaza vocha zao kila mahali watafanya vizuri sokoni! Nimedownload episode 15 zenye 75mb kwa 30minutes only.
 
Sema watu hawafuatilii...holotel anavuta ikifika muda ata drop...kwa kuwa teyari amekuza database..Voda, Airtel na tigo speed ipo ila inategemean ana kiasi unachochuku...

 
Kubali ukatae hawa jamaa wapo vizuri alafu hii ni HSPA+ tu wakilaunch 4G sijui itakuwaje.
 
Hivi halotel na smart ni kitu kimoja ama??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…