HALOTEL na bahati nasibu zao

HALOTEL na bahati nasibu zao

thA goD

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
1,943
Reaction score
1,856
Tangu nijiunge na mtandao huu pendwa ni takribani miaka mitatu sasa,lakini sijawahi kuskia ama kwa kutanganzwa officially au hata story za vijiweni kwamba kuna mtu ameshinda bahati nasibu zao.

Kwa watumiaji wa Halotel mtaniunga mkono hili hapa chini;
Imekuwa ada kwa halotel kila ukiongeza salio wao hukutumia namba za kuchezesha katika droo za bahati nasibu na nimekuwa nikifatilia mchezo huo bila mafanikio si kwangu tu Hata kwa jirani zangu.

Swali: je ni waongo mchezo hyo haupo nisijisumbue kuucheza au washindi wapo ila wanapatikana huko huko maofisini kwao?.

Nawailisha,I'm standing to be corrected.
 
Hyo ni kauli mbiu yao tu mara uingizapo voucher yao kwenye simu yako, ila kiuhalisia hiyo bahati nasibu haipo.
 
Vodacom nao hivohivo....wakitaja mshindi hawaweki jina la pili la mshindi wanaweke jina moja tu kwa mfano M.Said...hawaweki majina yote sababu.TCRA tunaomba muingilie kati
 
Ipo hyo kitu nishapiga airtime ten kama mara2 hv
 
Thanks in advance, kumbe Mh na hawa wavetinam hooligan wote?.
 
Back
Top Bottom