Halotel na 100mb za usiku

Hawa halotel ni wezi tu... Ukijiunga kwa 500, inapata 120mb ila zonalika kma mshumaa wapasaka, kingine unawza kuweka vocha yko ila pale unapopiga namba za kujiunga(*148*66#), wanakwambia "INVALID MM I CODE" na baada ya muda mambo yakiwa shwari unakuta wamekukata 50sh na hujatumia chochote, hii hali inanotokea sana...
 
Hata mimi sielewi mkuu..zamani walikiwa wanatoa mb600 siku hixi wameanza utapeleli..tutawahama km tulivyowahama wale ndugu zao..
 
Halotel nao ni wapuuzi tu walikuja kwa speed hawana ishu yoyote ya maana. Nakula zangu voda mb 1024 kwa buku siku 5. Sipendagi ujinga
 
Halotel.......nijuzeni bei ya Sim card ya chuo.....al maarufu line ya chuo.
Ofisini yenu ya Tabata Liwiti inauza line ya chuo kwa shs 10000 wakati vijana wenu wanaotembea mitaani wanauza shs 5000.
Hebu tupeni ufafanuzi
 
Unajiungaje mkuu?
Mkuu hii ofa sidhani kama kila mtu anayo. Mi naburudika nayo kama mwezi wa 6 sasa. Inaitwa "Ya Kwako Tu"
Huwa inakuwa namba 3 kwenye menu ya *149*01#

Au simply najiunga kwa kupiga *149*03# na salio lake naangalia kwa kupiga *149*60#

Vodacom Power to you.
 
Walikuja na mikwara !! hawana lolote hata vile gb1 za buku2 ni uongo dakika mbili zimeyeyuka. Hawajui bongo kutupa line ni dakika? ngoja watashangaa kuna siku wameuza malaini kibao lakini hakuna hata moja hewani,,, watu tumerudi nyumbani TTCL
 
Mkuu hii ofa sidhani kama kila mtu anayo. Mi naburudika nayo kama mwezi wa 6 sasa. Inaitwa "Ya Kwako Tu"
Huwa inakuwa namba 3 kwenye menu ya *149*01#

Au simply najiunga kwa kupiga *149*03# na salio lake naangalia kwa kupiga *149*60#

Vodacom Power to you.
Kweli mkuu nimejaribu *149*03# inagoma inasema hakuna ofa maalum kwa ajili yangu
 
Hawa halotel ni wezi tu... Ukijiunga kwa 500, inapata 120mb ila zonalika kma mshumaa wapasaka, kingine unawza kuweka vocha yko ila pale unapopiga namba za kujiunga(*148*66#), wanakwambia "INVALID MM I CODE" na baada ya muda mambo yakiwa shwari unakuta wamekukata 50sh na hujatumia chochote, hii hali inanotokea sana...
Huyo aliyeleta mada anamaanisha ukiwa na laini ya chuo.
Hii ya kukata salio ni , wanakuwa wanakata sh 50 sijui ni kwa nini
 
Back
Top Bottom