Halotel mtandao unazingua kwa Dar?

Halotel mtandao unazingua kwa Dar?

halotel wameweza kupata wateja in bulks at wonderful ways... heko...
kwa nini 079 (smart) wanashindwa?
 
Halotel nao vimeo tu, waliingia kwa mbwembwe sana. Ila kwasasa wameanza kusuasua, hasa kwa Dar hata ukae juu ya mnazi Internet patupu...!!
 
halotel wameweza kupata wateja in bulks at wonderful ways... heko...
kwa nini 079 (smart) wanashindwa?
Smart masihara mengi mno then sokoni walilenga watu wa hali ya juu wenye uwezo wa smartphone pekee labda kama wamejirekebisha
 
Very slow
Aisee nimejuta , Right nw nimetoka china Plaza kununia line ya halotel kwa kazi za Ofisi., nimefika kufungua Page tu inaload dakika 2... Nikashauriwa kuweka Line Ya Tigo , hakika nimeexperence speed ya Hali ya Juu.
Line ya Halotel Ipo mdomoni Kwa aaaa nimumunya kama Pipi , Na nimenunua Tsh 5000/= wakidai ni ya chuo.
 
Very slow
Katavi INA kama Siku 6 hivi
Mi nawaasa wajiangalie sana!

Watu walinunua laini za Halotel kwa ajili ya internet, lakini wanalazimika kuzitumia kwa kuwa ndizo zinazokuwa na fedha, licha ya kwamba hazina wadau,
Sasa wasipokuwa makini "watakimbiwa"
 
Nilifikiri ni mie pekee mwenye hili tatizo hasa nikiwa maeneo ya karibu na karimjee
 
Back
Top Bottom