jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,141
- 29,670
Hizi ni nyeti za chini ya kapeti kwamba bajeti nyingi za halmashauri zimefyekwa kwa kuwa hazina uhalisia.
Kwa sasa ni lazima uweke makisio ya bajeti kulingana na uhalisia wa utakachokusanya au kuletewa na serikali kuu.
Nategemea bajeti ya mwaka huu kuwa na uhalisia zaidi kuliko matarajio feki ya kisiasa.
Kwa sasa ni lazima uweke makisio ya bajeti kulingana na uhalisia wa utakachokusanya au kuletewa na serikali kuu.
Nategemea bajeti ya mwaka huu kuwa na uhalisia zaidi kuliko matarajio feki ya kisiasa.