Halmashauri ya Wilaya ya Rorya iko taabani kifedha

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya iko taabani kifedha

Joined
Jun 30, 2013
Posts
21
Reaction score
14
Halmashauri mpya ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara haijapata fedha za uendeshaji kutoka serikalini kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Novemba 2013 hadi sasa.Kufuatia hali hiyo,shughuli mbali mbali katika halmashauri hii zimekwama ikiwa ni pamoja na malipo mbalimbali ya watumishi kama uhamisho,posho na fedha za malipo ya nauli za likizo hususan walimu.
Walimu wote walioomba na kukubaliwa kwenda likizo hawajalipwa fedha zao hadi sasa likizo imekwisha.

Pia madiwani katika halmashauri hii wameshindwa kukaa vikao vya kawaida vya baraza kutokana na ukata unaoikumba halmashauri hii.
Sambamba na hilo,magari mengi katika halmashauri hii hayafanyi kazi kutokana na halmashauri kukosa fedha za mafuta.

Itakumbukwa kuwa halmashauri ya Rorya ni miongoni mwa halmashauri zinazoongoza kwa kupata hati chafu kutokana na matumizi mabaya ya fedha za Umma.Kupatikana mara kwa mara kwa hati chafu katika halmashauri hii kunatokana na watendaji wake wengi kugeuza halmashauri kuwa kijiwe cha kugawana posho.
 
Nilijua mambo ya msingi yamekwama kumbe ni posho na nauli za likizo,pole najua nawe ni mwadhirika wa hali hiyo
Halmashauri mpya ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara haijapata fedha za uendeshaji kutoka serikalini kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Novemba 2013 hadi sasa.Kufuatia hali hiyo,shughuli mbali mbali katika halmashauri hii zimekwama ikiwa ni pamoja na malipo mbalimbali ya watumishi kama uhamisho,posho na fedha za malipo ya nauli za likizo hususan walimu.
Walimu wote walioomba na kukubaliwa kwenda likizo hawajalipwa fedha zao hadi sasa likizo imekwisha.

Pia madiwani katika halmashauri hii wameshindwa kukaa vikao vya kawaida vya baraza kutokana na ukata unaoikumba halmashauri hii.
Sambamba na hilo,magari mengi katika halmashauri hii hayafanyi kazi kutokana na halmashauri kukosa fedha za mafuta.

Itakumbukwa kuwa halmashauri ya Rorya ni miongoni mwa halmashauri zinazoongoza kwa kupata hati chafu kutokana na matumizi mabaya ya fedha za Umma.Kupatikana mara kwa mara kwa hati chafu katika halmashauri hii kunatokana na watendaji wake wengi kugeuza halmashauri kuwa kijiwe cha kugawana posho.
 
Tatizo halmashauri inaongozwa na wapumbavu mwenyekiti wa halmashauri charles Ochele ni darasa la tatu , mbunnge lameck Airo ni darasa la sita,madiwani wasomi wako wachache tatizo wanakwamishwa na Airo Akishirikiana na mwenyekiti wa ccm mpumbafu asiyejua kusoma wala kuandika kiboye -------- fulani anajiita no 3
 
Airo ni fisadi tender zote za ujenzi halmashauri ya Rorya anapewa mdogo wake anaeitwa Michael Airo no free and fair competition kwenye kutoa tender.wananchi wa Rorya wanaumia ila tatizo kubwa ni waandishi wa habari wa mkoa wa mara wakiongizwa na George Maratu wako very corupt kazi yao ni kumpamba Airo lakini ukuliza amefannya nini hawana jibu? Airo ni janga la Taifa
 
tatizo lipo kwa wananchi kwani lameck na ochele waliiba hata maindi ambayo serekali itoa msaada wa chakula kwa wananchi tani 449 na kupereka kenya
 
si Lakairo alisema kwake yeye kila kitu kitakwenda, sasa ukata unatoka wapi?
 
Rorya majanga.it will never take off.pmu, ujenzi wako kwenye payroll ya Lakairo.the guy claims is a business guru.he toys with cmt's mind. Kazi ipo.
 
Ha ha ha Marato mwenyewe darasa la NNE unadhani atafanya nini napale ITV yuko km mwandishi Wa kujitegemea kwahiyo anaemlipa ndiyo anamfanyia kazi. Mengi nomaa kibarua miaka 15
 
MACCM watajiibia hata utumbo wao jamani wizi mtupu kwa kila nyanja
 
Sio rolya 2 bali pia bariadi,na itilima imefika hatua madiwani hawakai kwa sababu mkurugenzi hana pesa za kutoa posho kwa waheshimiwa madiwani na bado waheshiwa hao wadanadai posho zao za vikao vya halimashauri mara kibao wanakopa fedha kwa wafanyabiashara ili kuwalipa posho kwa madiwani hii yote ni kuyumba kwa wizara ya tamisemi.
 
Back
Top Bottom