Halmashauri ya wilaya ya Newala chini ya UKAWA

Halmashauri ya wilaya ya Newala chini ya UKAWA

Mzee Mchopu

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
1,031
Reaction score
268
Ukawaaaa, tumaini letu

Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe halmashauri ya wilaya ya Newala imepata mwenyekiti wa halmashauri toka UKAWA

Nasaha zangu: UKAWA mkatende yaliyotofauti na yale yalofanywa na CCM kwa miaka 50+

Sasa hapa ndo tujiulize, Je, Lowassa ni ASSET AU LIABILITY?
 
Ukawa wananipa sana raha,ccm mkajifunze siasa za kistarabu
 
Tunduma, arumeru mashariki na magharibi na babati mjini ni ukawa
 
Ukawaaaa, tumaini letu

Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe halmashauri ya wilaya ya Newala imepata mwenyekiti wa halmashauri toka UKAWA

Nasaha zangu: UKAWA mkatende yaliyotofauti na yale yalofanywa na CCM kwa miaka 50+

Sasa hapa ndo tujiulize, Je, Lowassa ni ASSET AU LIABILITY?
Bila lowasa yasingewezekana?!
 
Back
Top Bottom