Halima Mdee: 'Nimekula bata' rumande

king suleman

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
1,749
Reaction score
1,151
Za jioni wana JF leo wakati na watch ITV habari kuhusu ile ishu ya Halima Mdee da yule dada kanichosha nikajikuta na cheka ni pale aliposema eti bata alilokula huko (sero) amekula bata ambalo hajawah kula uraiani nikastuka kidogo, Bata gan KWA ALIYE ANGALIA ANACHUKULIAJE HYO AU NI KUJIFARIJI


CHANZO: Habari Leo
 
Hakuna kujifariji,ukweli ni kwamba naamin askar mag wanaunga harakat,ila tu wapo under order,bata itakuwa alikula tuuu!
 
kwa hiyo nanyi mnaanini kwamba segerea kuna kula bata labda kama ametumia tafsida ila there is no way kwamba lupango kuwe na raha zaidi ya uraiani na kama ni kweli watu watapangafoleni kwenda kula bata
 
Heheheee... Labda zile raha za "tachi ze wall"
..lol
 
Vyombo mbalimbali vya habari vimenukuu kauli iliyotolewa na Mh Halima Mdee akisema kwamba amekula bata alipokuwa mahabusu kuliko hata anavyokula bata uraiani

wenzangu mumemuelewa?


  1. anataka kutuaminisha kwamba huko mahabusu wanakula bata?
  2. huenda alipata nafasi ya upendeleo?
  3. je si hawa kwenye hotuba za bajeti wanaosema hali ya magerezani ni ngumu?
  4. Kauli hii inaweza kutafsiriwa vipi na mahabusu wengine?


Natafakari tu...
 
Huu ulikuwa ujumbe kwa wale ambao wakifikiri kumlaza segerea kutamnyongonyesha , aliwaambia kuwa yeye alikula bata n yuko tayari kurudi huko next time ........huu ujumbe utawauma sana waliofikiri kuwa kumpeleka segerea ni kumkomoa .......anawaambia yuko tayari kurudi tena Segerea .
 
Kwa ufafanuzi mwepesi badala ya kuachiwa juzi kwa dhamani dola iliamua aende lupango!
 
hiv hamjui kama maeneo ya magereza wanafuga bata weng so nafikir walimchinjia wa kutosha akala......

nwei la msing nafikir alimaanisha huko alikutana na watu wenye shida na yeye zaid na akapata nafas ya kua nao kwa karibu...
 
Ule ni usemi wa kisiasa zaidi kwa wanaoelewa. Kwani kula bata ni nini? Ni kufurahi na Mdee alifurahi maana alipata nafasi ya kukutana na watu ambao hangeweza kupata nafasi hiyo ya kukutana nao.
Hiyo ni misemo ambayo kwa sasa ndio inafahamika na idadi kubwa ya vijana ambao ndio wengi na nguvu ya chama. Mbona hakuna anayeuliza hapa kuwa jee alichinjiwa bata? Ni kwa vile wameelewa bata ni nini.
 
acha kuzuka watu, nyie si mlifikiri mnamkomoa kumbe mnajikomoa wenyewe!! we uliona wapi katiba ikatungwa na kundi moja ndani ya nchi - huo si ni uhalamia wa nchi kavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…