Hali ya Walimu Wilaya ya Monduli

Hali ya Walimu Wilaya ya Monduli

Massawe G. I

Senior Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
113
Reaction score
13
Walimu wana taabika sana. Ukweli unauma ila ndio dawa. Watoto wenu kwishnie hakuna kitu pikeni matokeo ndo kitakacho wasaidia
 
Jinga kabisa, hivi mpuuzi na mzushi kama wewe anaweza kuwa mwalimu kweli? Basi sekta ya elimu imeoza kama usemavyo. Kwanza Kiswahili chenyewe hujui; mf. SEREKALI badala ya serikali. ELA badala ya Hela! Huko shule unafundisha vitu gani ww au kuna somo la UZUSHI limeanzishwa? Halafu eti unadai malimbikizo, kwa wewe usilipwe tu hata hustahili. Kwanza sina shaka kwamba vyeti ulifoji.
 
Kilaza Kazi yake ni kuropoka kama wewe huna lolote wezi nyie
 
Back
Top Bottom