PostGE2025 Hali ya sintofahamu kijiji cha Nanjirinji A, Kilwa, Wananchi waandamana kupinga ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na viongozi wa kijiji

PostGE2025 Hali ya sintofahamu kijiji cha Nanjirinji A, Kilwa, Wananchi waandamana kupinga ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na viongozi wa kijiji

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Hali ya sintofahamu kwenye kijiji cha Nanjirinji A Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Wanakijiji wamegomea mkutano wa kijiji wakipinga Ubadhirifu unao fanywa na viongozi wa kijiji Mwenyekiti na Mtendaji.

Madai ya wanakijiji hao Uongozi wa kijiji umeuza mali, mashamba ya kijiji na kuhujumu miradi mingi ya kijijini hapo pia wakiulizwa wanageuka mbogo kwa ukali.

Wananchi wamefunga mkutano kwa nguvu ya umma na kumkataa Mwenyekiti na Mtendaji wa kijiji hiko kwakua wao ni sehemu ya wizi, ufisadi na ubadhirifu wote.

Ikumbukwe hawa ndio viongozi waliopita bila kupingwa kwenye utawala wa CCM mwaka 2024.

 
Hali ya sintofahamu kwenye kijiji cha Nanjirinji A Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Wanakijiji wamegomea mkutano wa kijiji wakipinga Ubadhirifu unao fanywa na viongozi wa kijiji Mwenyekiti na Mtendaji.

Madai ya wanakijiji hao Uongozi wa kijiji umeuza mali, mashamba ya kijiji na kuhujumu miradi mingi ya kijijini hapo pia wakiulizwa wanageuka mbogo kwa ukali.

Wananchi wamefunga mkutano kwa nguvu ya umma na kumkataa Mwenyekiti na Mtendaji wa kijiji hiko kwakua wao ni sehemu ya wizi, ufisadi na ubadhirifu wote.

Ikumbukwe hawa ndio viongozi waliopita bila kupingwa kwenye utawala wa CCM mwaka 2024.

Tunaisubiri D9 tukawafurushe Samia The Killer na majambazi wenzake!
 
Hali ya sintofahamu kwenye kijiji cha Nanjirinji A Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Wanakijiji wamegomea mkutano wa kijiji wakipinga Ubadhirifu unao fanywa na viongozi wa kijiji Mwenyekiti na Mtendaji.

Madai ya wanakijiji hao Uongozi wa kijiji umeuza mali, mashamba ya kijiji na kuhujumu miradi mingi ya kijijini hapo pia wakiulizwa wanageuka mbogo kwa ukali.

Wananchi wamefunga mkutano kwa nguvu ya umma na kumkataa Mwenyekiti na Mtendaji wa kijiji hiko kwakua wao ni sehemu ya wizi, ufisadi na ubadhirifu wote.

Ikumbukwe hawa ndio viongozi waliopita bila kupingwa kwenye utawala wa CCM mwaka 2024.

Wanachukua chako mapema wanachukua kabla ya taharuki,hivyo ni wajibu wa kila mmoja kuwa mlinzi wa mali na rasilimali za taifa.
 
Back
Top Bottom