Hali ya mwendokasi muda huu, kuna mgomo?

Hali ya mwendokasi muda huu, kuna mgomo?

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,065
Reaction score
3,843
Tunaambiwa wameanza Ruti ya Mbagala, huku Kivukoni hadi Faya watu wamejazana si kawaida na magari hamna.
 
Potezea hiyo nauli ambayo umekwishalipa panda daladala .
 
ufanisi wa mwendokasi ni mdogo sana, apewe kazi DP WORLD.
Kuna kampuni ya UAE inaitwa Emirate National Group ilisemwa wamepewa kazi ya kuisimamia mradi wa mwendokasi sijui iliishia wapi?

Ngoja tuone labda awamu hii watakuja kweli maana nchi inafunguka
 
Back
Top Bottom