Hali ya mwanza na wamachinga

Watu wenye vizimba sokoni wanalalamika wachuuzi hawataki kukaa ndani kila mtu anataka akae mbele...

Sokoni hawauzi

Utaratibu wa wapi huu?

Tutoke barabarani wakae kwenye vizimba rasmi

Wateja watazoea na watawafuata huko...ndio utaratibu
 
Serikali ikicheka nao tuendako itakuwa kasheshe lazima watu wafanye shughuli zao kwa utaratibu.
 
Mwanza ni Shida tupu . Mjini vulu vululu . Mbeya afadhari Kero si kubwa kivile
Tunajenga lami kwa billions halafu unamruhusu Chingaboy apange "malapa" na magari au watu wasipite.😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…