Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,317
- 13,757
Leo mheshimiwa Rais yuko ziarani Zanzibar na ameweza kuweka Mashada ya maua akiwa na mke wake mama Jesca kwenye Kaburi la aliyekua makamo wa Rais awamu ya Tatu Hayati Dr. Omari Ally Juma.
Najiuliza si kawaida Rais kuja na kuwa na wanajeshi wengi kiasi hiki yaani kama ameenda kutembelea askari waliopo vitani yaani kuna tight security kwa mara ya kwanza naona Askari amegeukia pembeni haangalii lile tukio na inavyoonekana Zanzibar hawana Uoga sana na Askari wao Askari wa JWTZ ndo wanawaogopa.
Je mlioko Zanzibar huko Kibanda maiti, Jang'ombe, Kwa Hamada, Mwembeladu, Mwembe Chai, Fuoni, mtueleze hali ya kisiasa Zanzibar
Najiuliza si kawaida Rais kuja na kuwa na wanajeshi wengi kiasi hiki yaani kama ameenda kutembelea askari waliopo vitani yaani kuna tight security kwa mara ya kwanza naona Askari amegeukia pembeni haangalii lile tukio na inavyoonekana Zanzibar hawana Uoga sana na Askari wao Askari wa JWTZ ndo wanawaogopa.
Je mlioko Zanzibar huko Kibanda maiti, Jang'ombe, Kwa Hamada, Mwembeladu, Mwembe Chai, Fuoni, mtueleze hali ya kisiasa Zanzibar