Jk watu aliokuwa nao leo mbeya wote awafikii hata nusu ya watu furahisha jana
Ächa utani basi ujue kule kulikuwa na free lunch mkuu!
Jk watu aliokuwa nao leo mbeya wote awafikii hata nusu ya watu furahisha jana
Bado Nina makengeza?makengeza yako niya ajabu kawaida makengeza huongeza idadi ya vitu sasa wewe ulikuwa mwanza ipi mimi nilikuwepo mkuu furahisha ilifurika km kawaida au unatumika?