Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 510
- 573
Najua humu jamvini kuna watu wenye kuona kwa jicho la tatu watakubaliana namimi kwa hili nalotaka kulisema,wakuu wanaJF msidanganywe na picha ambazo zimepigwa na wana CHADEMA,tena kwa angle ambayo waliona wao yafaa kuyadanganya macho,mi mwenye nilikuepo jana na watu walikuwa wa kawaida sana kwa jiji kama la Mwanza.Jiji la Mwanza ni miongoni mwa maeneo ambapo unaweza kujaza watu tena zaidi ya hao hata kwa ugomvi wa kuku.
WanaJF nimesema hali ya ushawishi kwa CHADEMA Mwanza imeshuka kwa ishara zifuatazo.,
1.Kipindi cha nyuma gari ya matangazo ilipokuwa ikipita ikitangaza jambo lolote kuhusu CHADEMA lilikuwa likilakiwa kwa miluzi,mbinja pamoja na mayowe kila lipitapo lakini jana na juzi hali hyo haikujitokeza.
2. Mikutano yote ya chadema ilipokuwa inafanyika yenye kuhusisha kiongozi yeyote wa kitaifa pamoja na mbunge wa nyamagana ilipelekea shughuli za kimachinga kusitishwa na wamachinga wenyewe kwenda kwenye mikutano hyo lakini hali hyo jana haikuwepo na kama kuna anayebisha kuhusu hili athibitishe.
3. Jana kwa mitaa ya Mwanza kwa uchunguzi wangu ambao haukuwa rasmi sikubahatika kuona kikundi au kijiwe chochote kikimuongelea Dr. Slaa tofauti na hapo kabla ambapo ujio wa Slaa ulikuwa ndio story mpaka vichaa waliku alert.
Sehemu pekee ambazo walijaribu kumwongelea ni vijiwe vya Kemondo,Mwaloni pamoja na Furahisha na story nyingi zikiwa ni kwanini Slaa pamoja na kamati kuu wanatumia gharama kubwa kupima upepo wa ZZK?
WanaJF nimesema hali ya ushawishi kwa CHADEMA Mwanza imeshuka kwa ishara zifuatazo.,
1.Kipindi cha nyuma gari ya matangazo ilipokuwa ikipita ikitangaza jambo lolote kuhusu CHADEMA lilikuwa likilakiwa kwa miluzi,mbinja pamoja na mayowe kila lipitapo lakini jana na juzi hali hyo haikujitokeza.
2. Mikutano yote ya chadema ilipokuwa inafanyika yenye kuhusisha kiongozi yeyote wa kitaifa pamoja na mbunge wa nyamagana ilipelekea shughuli za kimachinga kusitishwa na wamachinga wenyewe kwenda kwenye mikutano hyo lakini hali hyo jana haikuwepo na kama kuna anayebisha kuhusu hili athibitishe.
3. Jana kwa mitaa ya Mwanza kwa uchunguzi wangu ambao haukuwa rasmi sikubahatika kuona kikundi au kijiwe chochote kikimuongelea Dr. Slaa tofauti na hapo kabla ambapo ujio wa Slaa ulikuwa ndio story mpaka vichaa waliku alert.
Sehemu pekee ambazo walijaribu kumwongelea ni vijiwe vya Kemondo,Mwaloni pamoja na Furahisha na story nyingi zikiwa ni kwanini Slaa pamoja na kamati kuu wanatumia gharama kubwa kupima upepo wa ZZK?