We itakuwa hufanyi mazoezi na hujui nini maana ya Push up 100.
Ni kwambie sasa mtu anayeweza kupiga Pushup 100 hawezi kushindwa kupita kwa ile kamba.
Uzuri wa maji ukishapata pakujishikiza tu maji yanakusapoti na kupunguza uzito.
Ndio maana unaona huyo dogo aliyepita kwenye ile kamba wala haijanesa nesa sana.
You just need an ancor