Nimeshuhudia kama mara tatu hivi ndani ya daladala watu wanapanda bila nauli bila aibu maisha yamewapiga watu, makonda wengine Hawana huruma wengine wanasema mbona hukuniomba kabla hujapanda.
Lakini ukimuuliza we mama unaenda wapi atakuambia wewe Baba acha tu khali tete sijui naelekea wapi lakini nikishuka nitajua mwanangu.
Mh. Rais achia kidogo kwa mwezi huu ni zaidi ya machi twafaa.
Lakini ukimuuliza we mama unaenda wapi atakuambia wewe Baba acha tu khali tete sijui naelekea wapi lakini nikishuka nitajua mwanangu.
Mh. Rais achia kidogo kwa mwezi huu ni zaidi ya machi twafaa.