luganolugy
Member
- Oct 13, 2016
- 37
- 5
Maisha yatakuaje vyuoni hasa mwaka wa Kwanzaa MAANA wanafunzi wengi tunatoka familia za wenye uwezo wa chini
Wazazi wetu walitegemea tumefaulu vizuri na lazima tupate MKOPO kumbe mh daaaaa
Wengi tunaacha vyuo coz ya pesa
Wazazi wetu walitegemea tumefaulu vizuri na lazima tupate MKOPO kumbe mh daaaaa
Wengi tunaacha vyuo coz ya pesa