Hali ngumu mwaka wa Kwanzaa

Hali ngumu mwaka wa Kwanzaa

luganolugy

Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
37
Reaction score
5
Maisha yatakuaje vyuoni hasa mwaka wa Kwanzaa MAANA wanafunzi wengi tunatoka familia za wenye uwezo wa chini
Wazazi wetu walitegemea tumefaulu vizuri na lazima tupate MKOPO kumbe mh daaaaa
Wengi tunaacha vyuo coz ya pesa
 
Mje tuongeze wachumba..maana hela za boom saiv week tu zishaisha..jeuri kwisha kazi..
 
Back
Top Bottom