Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Hii shida ya mitandao ya simu imekuwa sikio la kufa kila siku linazuka jipya.
Hasa mitandao ya Yas na Airtel ilikuwa shida tupu!
Soma Pia: Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas
Kuna nini kinachoendelea? Maana shida ya mtandao imekuwa kero kila siku. Tumechoka sasa !
Hasa mitandao ya Yas na Airtel ilikuwa shida tupu!
Soma Pia: Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas
Kuna nini kinachoendelea? Maana shida ya mtandao imekuwa kero kila siku. Tumechoka sasa !