Subiri 2015 ,Chadema inachukua Utawala wa nchi ,Madaktari mshahara kuanzia milioni tatu,walimu kuanzia milioni mbili ,wabunge kupunguziwa mshahara kwa asilimia 45, mshahara wa chini kwa walio serikalini ni milioni moja ,wasio na kazi kila mwisho wa mwezi lakimoja.Mawaziri kupunguziwa mshahara kwa asilimia 52,Raisi kupunguziwa mshahara kwa asilimia 75 na wastaafu nusumilioni.
Hivyo uwe na subira ,karibu mambu yataiva.