Jaman eeh imefika wakati watanzania tuache uzumbukuku na upumbave usio na kichwa wala mkia yani kuwaelezea watanzania wenzako jinsi jeshi linavyo waandaa wanajeshi wa tanzania mtu unasema ni siri za serikali? Mbona world faza aka USA mpaka mafunzo ya ufield marshal anayaweka mtandaoni ili vilaza sisi 3rd world countr na bado hatujifunzi, emu mwenye kujua atuabarishe,