Salum Sanane
Member
- Apr 14, 2013
- 30
- 4
He!.....miaka ya kuishi siku hizi mwisho 22.....tugandane ili iweje.......
Anaefanya hivyo basi hajui nini maana ya ndoa.
Nikirudi kwenye point,mwanamke mwenye tabia hiyo huenda katoka kwenye familia yenye udhaifu fulani na alipo mpata mwanaume mwenye uwezo fulani basi anaanza tabia mbovu, na usiombe ukawa umezaa nae Ahahaha Hapo ndipo utakapo kijua kizungu.
Nenda katafute ukimwi mamaaa, ukiupata ndo utajuwa nini maana ya kugandana!, teh! teh! teh!
Nenda katafute ukimwi mamaaa, ukiupata ndo utajuwa nini maana ya kugandana!, teh! teh! teh!
kuliko kuletewa na mwanaume ndani ni bora nikatafute mwenyewe
Udanganyifu sasa umekuwa ni jambo la kawaida,hasa katika suala la ndoa. Wanawake wengi hufunga ndoa za uongo ili kutimiza malengo yake.
Baada ya kupata kile anachohitaji huanza vituko na migogoro ili mwanaume ashindwe.
Kina mama naomba muwe waadilifu.
Nafikiri imefikia kipindi watu tunatakiwa kuwa na jibu moja tu, either kukubali kuoa/kuolewa au kubaki single! Haya mambo ya ngoja nioe/niolewe nione ndoa ina ladha gani ndiyo husababisha migogoro na kuifanya ndoa iwahi kueksipaya! Naichukia sina hii hali, basi tu ...
umeona eeee!wao wanawekeza bar zote,na kona zote za jijji
mwanamke utakaa kusubiri nini,bora usepe kitaeleweka
mbeleni!!hahaaaa!
Tunasubiri mfano kwako shem kama kitaeleweka utujuze jamani tufate nyayo hahaaa!!!
tena wakuletewa unauma na unaua fasta halafu ARV zinagoma kufanya kazi mi bora niutafute mwenyeweUnaweza ukatulia na mume akakuletea ukimwi hapo ndani!