Salum Sanane
Member
- Apr 14, 2013
- 30
- 4
Udanganyifu sasa umekuwa ni jambo la kawaida,hasa katika suala la ndoa. Wanawake wengi hufunga ndoa za uongo ili kutimiza malengo yake.
Baada ya kupata kile anachohitaji huanza vituko na migogoro ili mwanaume ashindwe.
Kina mama naomba muwe waadilifu.
Baada ya kupata kile anachohitaji huanza vituko na migogoro ili mwanaume ashindwe.
Kina mama naomba muwe waadilifu.