Hakuna Ugumu wa kurudi Misri...

Hakuna Ugumu wa kurudi Misri...

Sasa UNAJUA kuna DINI nyingine zaidi ya U-Catholic Tanzania? Sasa Hizo DINI ZINGINE za KIKRISTO ziliachwa NJE kama Waislamu wote si SAWA???

Sasa ni Sasasawa na Waislamu wa DINI ya SUNNI ambao ndio wengi Tanzania kwenda MSIKITINI IJUMAA na kuashiriana KUANDAMANA baada ya SWALA ya IJUMAA...

Sasa DINI Nyingine za KIISLAMU Tanganyika kama VILE SHIITE; WAHABIS;KHARIJITES; SUFIS; GULATS na ZAIDI? Wao Wanapata wapi hayo Mahubiri???

KUWENI Wajuaji na Mnavyovisema ROHO zenu zitakuwa safi na UPENDO wa Kila MWANADAMU hapa Tanganyika
 
Back
Top Bottom