ngezima tu tujue moja kuliko kuacha
Maana tokea walivyotangaza bila kuangalia athari ya kiuchumi hasa kwa taifa na mtu mmoja mmoja
Tembelea wafanyabiashara wa simu maumivu waliyoyapata wanajua wenyewe
Watu wa hali ya chini wachache sana waliokuwa wananunua simu, waelewa wachache sana tena watumiaji wa smartphones
Sjui huko kaliakoo lkn kwa mikoani haisimuliki mtu ana Mkopo bado kadi 200000/= hadi 300000/= kwa mwezi khaaaa!!!