Ila jamani tuacheni utani, kuna mademu wanapiga mizinga zaidi ya ile mizinga 21 anayopigiwaga Mh. Rais

Wengine akikupa namba tu dakika kumi nyingi umeshapigwa mzingaMizinga ni noma aisee! Mwanamke unaonana nae siku ya kwanza mfano jmosi, jpili asubuhi na mapema kibomu. Hii hali inakera na inakatisha tamaa Kabisa
Hahaahaaa!Kuna wengine wanapiga mizinga ya kingese sana..
"Eti bae earphone zangu zimeharibika.. Naomba 15000 nikanunue" nikaona huyu hafai hata kwa kurumangia.. Nikampiga kufuli, funguo nikatia kwenye zege..

Wadangaji meno nje....Andika "hakuna mwanaume atakayedumu na mwanamke mpiga mizinga" ustake kutukosea adabu wanaume tuliobahatika kupata wanawake " binaadam"
By the way tafuta pesa uhonge, acha kulialia njaa